top of page
Search

MrB - Uliyenijalia Lyrics


Bila shaka wewe, ni mungu wa kweli

Tena wewe waajabu, matendo yako yatisha

Watetemesha milima, miamba, kwa pumzi yako tu

Warejesha uhai, na afya, mifupa mikavu

Hivi basi nieleze, ni kipi usichokiweza

Kitu gani nilinganishe na mambo unayoyatenda

Fikra zako zanizidi umri, siwezi eleza

Vitabuni nikinakili siwezi maliza

Fikra zako zanizidi umri, siwezi eleza

Vitabuni nikinakili mie siwezi maliza




Kazi ya mikono yako Yesu, naishuhudia

Nitaimba sifa zako, Jehovah


Si kwa nguvu na uwezo nilionao

Si kwa hekima na maarifa niliyonayo

Si kwa nguvu na uwezo nilionao

Si kwa hekima na maarifa niliyonayo


Uliyenijalia, nitaimba sifa zako

Uliyenijalia, Jehovah

Uliyenijalia, Ni wewe bwana

Uliyenijalia, Jehovah


Uliyenijalia, nitaimba sifa zako

Uliyenijalia, Jehovah

Uliyenijalia, Ni wewe bwana

Uliyenijalia, Jehovah


Comments


JIF MEDIA SERVICES

Subscribe Form

Thanks for submitting!

+254110444587

  • Instagram
  • Twitter
  • Facebook

© JIF MEDIA SERVICES 2023

bottom of page